VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Friday, July 17, 2015

KIMENUKA : Mh Tunsume Shingwa achukua fomu ya kutangaza nia kata ya Luswisi, wilayani Ileje Mbeya

Hatimaye baada ya kupatikana Kwa mwakilishi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Mh. John Pombe Magufuli 
kazi imehamia kwa Wabunge na Madiwani, Mnamo Jana 16/07/2015 Siku ya Alhamisi Saa saba  Mchana Mh: Tunsume Shingwa Wa Luswisi ileje Ameamua kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania Udiwani Kata ya Luswisi.

No comments: