VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Monday, December 28, 2015

Wachimbaji Kadhaa Wafunikwa Na Kifusi Chunya, Mkoani Mbeya Leo


Wachimbaji kadhaa wamefukiwa na kifusi katika kijiji cha Sangambi wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuokoa uhai wao zinaendelea muda huu.

Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.
VITUS MTAFYA ..... ILEJE NI NYUMBANI ......

No comments: