VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Monday, January 26, 2015

Mabadiliko ya Mawaziri


        Mawaziri wawili wamejiuzulu
    
  i) Ardhi-Tibaijuka
 
ii)Nishati na madini-Sospeter Muhongo
Walio teuliwa
 
1. George Simbachawene- Waziri Nishati
 
2.Mary Nagu-Waziri wa Nchi mawasiliano na Uratibu
3.Christopher Chiza-Waziri uwezeshaji na Uwekezaji
 
4.Halson Mwakyembe-Ushirikiano wa afrika mashariki
 
5.Lukuvi-Ardhi Nyumba na Makazi
 
6.Steven Wasira-Kilimo chakula na Ushirika
 
7.Samwel Sitta -Wizara ya Uchukuzi
 
8.Jenista Muhagama-Sera na uratibu wa Bunge

 
MANAIBU Waziri
 
Masele -OMR Muungano
 
Kairuki -  Ardhi
 
Ummy - Katiba na Sheria
 
Anna Kilango- Elimu
 
Mwijage - Nishati

No comments: