VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Sunday, June 21, 2015

Mkutano mkuu wa ACT mkoa wa mbeya ktk viwanja vya rwanda nzovwe.

       Mkutano ulihutubiwa na kiongozi wa chama cha Wazalendo ACT  katika viwanja vya Nzovwe mbeya huku Mh Zito Kabwe akiahidi kuwa (Pesa zangu za halali za kiinua mgongo za ubunge zote ntazipereke shule ya walemavu wa ngozi.albino SHINYANGA.) alisema Zitto Kabwe





No comments: