VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Saturday, November 8, 2014

TODAY




Bilionea Dangote azidi kung’ara.
     Mtandao wa Forbes umetoa list mpya ya matajiri hamsini kutoka Afrika list ambayo inaongozwa na tajiri wa Nigeria ambae ni Mfanya biashara maarufu na Rais wa kampuni ya Dangote Aliko Dangote, aliyekuwa akishikilia nafasi ya arobaini na tatu na kupanda...
Read More »




Stori 5 Hot Magazeti ya leo Tanzania November8, 2014

   MWANANCHI Wafanyakazi wapya katika hospitali ya taifa ya Muhimbili MNH wamelalamikia kutolipwa mishahara kwa miezi minne sasa huku uongozi ukishindwa kuwapa majibu ya ufumbuzi wa tatizo hilo. Wafanyakazi hao zaidi ya5o waliajiriwa na Hospitali hiyo tangu mwezi wa nane mwaka...
Read More »






Picha 15 za Usiku wa Damian Soul na watu wake ziko hapa….



  Usiku wa Nov 7 Damian Soul amezindua video ya single yake ‘Ni Penzi’ aliomshirikisha rapper kutokea Arusha (87.9CloudsFM) Joh Makini.Uzinduzi huo umefanyika katika ufukwe wa bahari Escape One uliopo Mikocheni Dar es Salaam.Katika uzinduzi huo Damian Soul alitumbuiza live bendi....

No comments: