VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Tuesday, November 4, 2014

WASSIRA AITAHADHALISHA CCM UTEUZI WA WAGOMBEA



 Waziri wa nchi ,Ofisi ya Stephan Wassira , amekitaka chama cha ccm kutokufanya makosa  ya kusimamisha wagombea wasiokubalika  katika uchaguzi wa serikari za mitaa . alisema 2010 ccm ilifanya makosa katika  baadhi ya maeneo kwakusimamisha wagombea wasiokubalika  , hatua ambayo ilifanya baadhi ya majimbo hayo kuweza kuchukuliwa na vyama pinzani
      " naomba makosa ya mwaka 2010 yasiljirudie tena  kwa kuwachagua viongozi wasiyo kubalika na wananchi  Hali ambayo inaweza kusababisha kuvipa upenyo vyama pindani"

No comments: