VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Thursday, February 26, 2015

Matukio mbalimbali ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda Mbeya mjini na vijijini

PG4A2882
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi baada ya kufungua vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari ya Songwe mkoani Mbeya Febrari 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PG4A2919
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya sekondari ya Iwambe wilayani Mbeya wakati alipofungua na kukagua maabara tatu za shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 25, 2015. Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Norman Sigalla.
PG4A2988
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua soko Kuu la Mjini Mbeya la Mwanjelwa baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wake akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya, Februari 25, 2015.
PG4A3031
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Kijiji cha Kimondo, Mbeya Vijijini  kabla ya kuweka jiwe la Msingi la zahanati yao akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 25, 2015. Kushoto kwake ni Mbunge wa Mbeya Vijijini, Luckson Mwanjale na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini Dr. Norman Sigalla.
PG4A3034
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la zahanati ya Kimondo , Mbeya Vijijini akiwa katika ziara ya mkoa  wa Mbeya, Februari 25, 2015. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Dr. Norman Sigalla.
PG4A3046
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza na wananchi baada ya kuweka jiwe la msingi la Zahanati  ya Kimondo, Mbeya Vijijini  akiwa katika ziara ya mkoa wa huo, Februari 25, 2015.
PG4A3074
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na wananchi baada ya kuweka jiwe la msingi la Zahanati ya Kimondo na kuzungumza akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya, Februari 25, 2015.
PG4A3106
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Igoma , Mbeya Vijijini akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Mbeya Februari 25, 2015.
PG4A3137
Wasanii, Max Oswald (kushoto) na  Ivan Kina wakitumbuiza katika mkutano wa hadhara  uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kijiji cha Igoma, Mbeya Vijijini Februari 25, 2015.

No comments: