VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Monday, February 16, 2015

SIMANZI: AJINYONGA BAADA YA MATOKEO YAKE YA FORM 4 KUWA MABAYA.. MUANGALIE HAPA

Imekuwa kawaida kila mwaka pale ambapo matokeo yanapotoka watu wengi hutarajia mambo mazuri h ata yulealiye kuwa kilaza darasani naye anaamini atafaulu tu, ila matokeo yake mambo yanakuja kutokana na kile ulichopanda kama ulipanda mawe basi ni mawe unatakiwa kuvuna.
Kinachosikitisha Zaidi ni pale wanapo chukua hatua kama huyu
Kijana mmoja ajulikanae kwa jina John Maduhu wa Kijiji cha Pandagichiza, Wilaya ya Shinyanga vijijini kaamua kujinyonga baada ya matokeo ya kidato cha nne yaliyotoka jana kumjia vibaya, akiongea na mwandishi, kaka wa marehemu alisema kuwa baada ya matokeo kutoka, John alitoweka nyumbani


                                        Mungu atusaidie na atusamehe kwa dhambi hizi

No comments: