VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Monday, March 2, 2015

AJINYONGA BAADA YA KUSALITIWA NA BOYFRIEND WAKE

Nitukio la kusikitisha lililotokea Nchini Nigeria baada ya msichana mmoja kuamua kuchukua maamuzi ya kujinyoga baada ya kuasilitiwa na  mpenzi wake
 
Taarifa kutoka kwa ndugu zake wa karibu ni kwamba mwili ma marehemu ulipatikana nyuma ya jumba baada ya siku chache majina yao marehemu na mpenzi wake yameifadhiwa

                                                POSTED BY VITUS MTAFYA

No comments: