VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Saturday, March 14, 2015

PICHA ZAIDI ZA AJALI YA BASI LA OSAKA NA LORI HUKO MKOANI DODOMA


Ajali mbaya ambayo imetokea maeneo ya CBE Dodoma..Basi la Osaka Raha ambalo lilikuwa linatoka mwanza kuelekea Dar,

Chanzo cha ajali hiyo ni gari kubwa aina ya semitrela lilikuwa limekata trela lake katikati ya bara bara kuu inayoelekea Dodoma Inn, Na basi hilo inasemekana lilikuwa spidi sana na bila kujua kuwa katikati kulikuwa na trela hilo na katika jitahada za kujaribu kulikwepa liliingia kwenye mtaro na kugonga mti ambao..Inasemekana hakuna aliyepoteza maisha ila majeuhi ni wengi na wamekimbizwa katika hospitali ya General

No comments: