VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Thursday, October 30, 2014

AJARI YAUA WATU 9 MKOANI ARUSHA BAADA YA HAICE KUGONGANA USO KWA USO NA ROLI LA MAFUTA

 
Watu tisa  9 wamefariki  mkoani arusha na wawili kujeruhiwa vibaya baada ya haice kugongana uso kwa uso na  roli la mafuta iliyotokea eneo la Arumeru  mkoani arusha 
Akizungumza kamanda wa police mkoani arusha LEBARATUS  SABAS amesema kuwa ajari hiyo imetokea  majira ya saa kumi jioni .
   Baadhi ya mashuhuda  wa ajari hiyo ni  uzembe  wa dreva  wa gari dogo  na wameiomba mamlaka kuongeza adhabu kwa madreva  .
    Baadhi  ya  picha za ajari 




No comments: