VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Tuesday, October 28, 2014

MFANYABIASHA ALIYE JILIPUA KWA RISASI JIJINI ARUSHA AIBUA MAMBO MAZITO

Suala la mfanyabiashara Timoth mroki kujiua kwa risasi kumeibua mambo mapya  kutokana na kuelezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi .

Habari zilizopatikana kutoka jijini arusha , zinasema kuwa Mroki (36) Alikuwa na vimada wawili ambao ni wake za watu na kabla hajafanya tukio hilo la kupo Alitoa taarifa kwa wanawake hao ( majina yao yamehifadhiwa )

Habari kutoka ndugu wa karibu ni kwamba vimanda hao baada ya kufahamiana waliamua kupiga picha  ya pamoja na kumlushia Mroki kwa njia ya simu  ya mkononi . Kugundulika kwa siri hiyo kurizusha tahaluki  kwa mroki  hivyo kukasababisha kuyumba kwa mahusiano baina ya vimada hao wawili , akiwepo mmoja ambaye ni mshirika wake wa biashara 
   kwa habari zaidi ungana na mpekuzi .com

No comments: