VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Thursday, October 23, 2014

WAZIRI MKUU MH: MIZENGO PINDA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA URAIS 2015



    Sio tetesi  tena . sasa ni rasmi kwamba waziri mkuu,  mizengo pinda  anmbaye alikuwa  akitajwa kuwania urais  amethibitisha wazi kuwania kiti hicho  katika uchaguzi mmkuu mwakani . Alitoa uthibitisho huo  juzi akiwa London uingereza  ambako yupo  katika shuguli za kikazi.
   Hatua hiyo amboyo inandoa uvumi  ambao umekuwepo takribani miezi mitatu  sasa kwamba naye tayari ameingia katika kinyang'anyilo hicho

No comments: