VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Saturday, October 25, 2014

MSANII WA KIZAZI KIPYA CHID BENZ AMEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KATIKA AIRPORT DAR

Msanii wa bongo freva  Rashidi makwiro " chid benz " amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine na bangi akiwa kwenye uwanja wa mwl. julius nyerere jijini dar es salaam jana 
 Akizungumza na kamanda wa kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya  ALFRED  NZOWA  Amehtibitisha kutokea kwa tukio hilo  kuwa msanii huyo alikuwa njiani kuekea mbeya  kwa ajiri ya shuguli zake za kimziki 

No comments: