VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Wednesday, October 22, 2014

DIAMOND PLATINUM AKAMATWA NA POLICE NA KUHOJIWA KWA SAA KADHAA

  


Baada ya meneja wake kukamatwa jana jioni  na wacheza shoo wake kukamatwa leo Asubuhi. Hatimaye Diamond ajisalimisha  kituo cha police (oyster bay)

Baada ya msanii huyo kujisalimisha , Alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha akaachiwa kwa dhamana baada ya kukabithi sare ya JWTZ  kituoni Hapo

No comments: