VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Wednesday, October 29, 2014

MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ MAHAKAMANI

Kuonyesha wapo makini na mavazi polisi polisi walimtaiti staa wa bongo fleva ,Rashid makwiro "chid benz"kumtaka avae vizuri na alejee mahakamani. 
Tukio hilo lilitokea juzi siku ya jumanne katika mahakama ya kisutu jijini dar es salaamwakati staa huyo alipo fikishwa kwa kosa la kukamatwa na madawa ya kulevya  akiwa katika viunga hivyo vya kisutu dar es salaam .

No comments: