VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Thursday, December 4, 2014

KESI YA CHIDI YA BENZ YAPIGWA KALENDA




Mashtaka matatu yanayomkabili chidi benz mojawapo la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya zaidi ya elfu 30, ambayo alikutwa nayo wakati anakaguliwa kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu julius kambarage nyerere, kesi imesogezwa mbele

Chidi benz jana jioni aliandika kupitia account yake facebook “chiddi Beenz chuma” maneno yafuatayo

Kesho ni judgement yangu na ni mwisho wa kesi yangu pale kwa Hakimu mkazi wa kisutu, najua nimekosea lakini sio sana kuliko makosa yooote, muhimu ni kusamehe na kuondoa hasira na mimi, msipoteze imani na mimi, nimekua Msanii mzuri na bora kwa kipindi chote, nikiwa kazini inafahamika nachokifanya, sijawahi kosea kufanya kazi yangu hayo mengine ni mengine tayari, mnaweza kutokea kwa support na naomba mniombee, nisirudi kule tafadhali

No comments: