VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Wednesday, December 3, 2014

Picha 19 za jinsi Diamond Platnumz alivyopokelewa Dar es salaam, mpaka Polisi ndani ya msafara.




d17Baadhi ya mastaa wa Afrika walioona mapokezi ya Diamond Dar es salaam wamependa sana upendo wa Watanzania kujitokeza kumpokea Platnumz baada ya kushinda tuzo tatu za Channel O 2014 zilizotolewa Johannesburg South Africa.
Kwenye msafara wa Diamond Platnumz kulikua na Polisi pia ambao kazi yao ilikua ni kuhakikisha usalama unakuwepo ambapo sehemu nyingine Diamond alilazimika kushuka na kutembea kupiga picha na watu wake.
d16
d15
d12
d11
d10
d5
d2
d1
d3
d6

d8
d4
d9
d13
d14
d18
d19Ni ahadi yangu kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza

No comments: