VITUS BENEDICTO MTAFYA

SPORT AND GAMES

Monday, December 15, 2014

Nywele za mwanamke zashika moto wakati akizima mshumaa siku ya birthday yake


 
Hii imetokea huko Marekani! Mwanamke mmoja Shelley Meyer amejikuta sherehe yake ya siku ya kuzaliwa ikigeuka kilio baada ya nywele zake kuteketea kwa moto wakati akizima mishumaa kwenye keki yake.

 

 

 

Mwanamziki mkongwe Shem Kaengaa afariki dunia


Marehemu Shem Ibrahim Karenga enzi za uhai wake.
Chumba cha habari cha Globu ya jamii,imepata taarifa za kuaminika kutoka kwenye chanzo cha karibu kuhusiana na Msiba wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,

 

 

 

Shilole aachia ngoma yake mpya kwenye Leo Tena iitwayo Malele


Msanii wa Bongo Fleva,Shilole akiwa na mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena,Husna Abdul wakati akiachia ngoma yake mpya iitwayo Malele.

Iggy Azalea Ajibu Tuhuma Kwamba Alizaliwa Mwanaume Na Aliitwa Cody.



Rappa wa Iggy Azalea ametumia kurasa yake ya Twitter kujibu tuhuma kuwa alizaliwa mwanaume n jina lake lilikuwa Cody. Ijumaa jioni Iggy aliweka hizi post nakufanya watu wacheke na wengine wakijiuliza hii interview aliyofanyiwa mpaka kukiri mambo haya ilitokea lini.

 

Kourtney Kardashian ajifungua mtoo wa kiume


Baada ya zile picha za Kourtney Kardashian kupiga huku akiachia tumbo lake lilokuwa na kiumbe ndani yake sasa amejifungua mtoto wa kiume ambaye baba wa mtoto anajulikana kama Scott Disick na hii ni kwa mujibu wa mtandao mkubwa wa burandi wa

No comments: